
HABARI MOTOMOTO
Monday, 9 November 2015
WANAJESHI WA ISRAEL WAMUUA MWANAMKE MPALESTINA

MAGUFULI ABADILI UONGOZI MUHIMBILI

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo amefanya ziara nyingine ya kushtukiza, wakati huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kufanyia mabadiliko usimamizi wa hospitali hiyo.Kiongozi huyo mpya amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini, kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu.
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WAKIENDELEA KUDATISHA UGHAIBUNI WAFANYA KWELI JIJINI BREMEN

Subscribe to:
Posts (Atom)